ATLETICO MADRID YAKUBALI KICHAPO

Lionel Messi amefunga magoli 30 katika michezo 29 msimu huu
Barcelona wameifunga Atletico Madrid katika mzunguko wa kwanza wa nusu fainali ya kombe la Copa del Rey katika dimba la Vicente Calderon.


Katika mchezo huo ulioisha kwa Atletico Madrid kuchapwa 2-1 huku magoli ya Barcelona yakifungwa na Messi pamoja na Suarez na lile la Atletico likipachikwa na Griezman, ilishuhudiwa Messi akifikisha magoli 200 katika michezo 274 ya ugenini.
Mchezo wa marudiano utakuwa Februari 7 ambapo Barcelona itakuwa katika dimba lake la nyumbani Camp Nou. Alaves na Celta Vigo ni timu nyingine ambazo zitacheza nusu fainali Februari 8.

Comments

Popular posts from this blog

UWANJA WA TAIFA KUFUNGWA CAMERA ZA ULINZI (CCTV)

SIMBA SC YATAMBA KUENDELEZA REKODI YAO LEO