MBUNGE AWACHANA WANAOHAMA VYAMA

Mbunge wa Viti Maalum wa Chadema, Upendo Peneza amesema hana sababu za kuhama chama hicho kikuu cha upinzani nchini huku akiwashangaa wanaochukua uamuzi huo. 

Aidha mbunge Peneza aliwaomba watanzania kuona namna fedha ya Tanzania inavyochezewa kwa kila siku wabunge na madiwani wakihama kutoka chama kimoja kwenda kingine, hivyo kuliingiza taifa hasara kwa kuandaa chaguzi nyingine. 

Huku wale waliohama chama wakipewa nafasi ya kugombea nyazifa, ''kwahiyo ni mchezo mchafu wanaochewa watanzania'' alisema 

Comments

Popular posts from this blog

UWANJA WA TAIFA KUFUNGWA CAMERA ZA ULINZI (CCTV)

SIMBA SC YATAMBA KUENDELEZA REKODI YAO LEO