SERIKALI YAIPA MIFUKO YA JAMII MIEZI MITATU KUTEKELEZA UJENZI WA VIWANDA



Serikali imetoa mpaka mwezi wa 12 mwaka huu kwa mifuko ya jamii iwe imefikia hatua ya kutekelezeka ya ujenzi wa viwanda na sio maneno matupu.


Naye waziri wa viwanda na biashara Charles Mwijage amesema hakuna mtu ALIYEKURUPUKA kuwapa jukumu la ujenzi wa viwanda mashirika hayo ya hifadhi ya jamii, na asset za mifuko yote ni 1O % mpaka 3O% ya GDP ya nchi.

Naye katibu mkuu wa chama cha mashirika hayo amesema viwanda vitajengwa na shirika moja moja na vingine kwa kushirikiana na viwanda vitavyojengwa vitakuwepo vya vipuri na nguo.

Comments

Popular posts from this blog

SIMBA SC YATAMBA KUENDELEZA REKODI YAO LEO

SINEMA YA CUF NA PROF LIPUMBA YAFIKIA PATAMU