BREAKING NEWS: TANZIA, JOSEPH MUNGAI AFARIKI DUNIA
Joseph Mungai ambaye aliwahi kuwa waziri wa elimu sayansi na teknolojia amefariki dunia jioni ya leo novemba 8 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu.
Tautaendelea kuwajulisha kadri taarifa zitakavyotufikia.
Comments
Post a Comment