MAES AFUNGASHIWA VIRAGO KRC GENK
Uongozi wa klabu ya KRC Genk hatiamaye umeamua kumtimua kazi kocha wake Peter Maes kwa kuwa na matokeo mabaya ambayo yalikuwa yakizidi kuporomoka.Taarifa kutoka kwenye mtandao wa klabu hiyo inaeleza kuwa chanzo ni kupata matokeo mabaya ndio mana wakaamua kusitishwa kwa ajira ya kocha huyo aliyejiunga na Genk msimu uliopita.
Jupiler Rudi Cossey ambaye ni kocha msaidizi atabeba majukumu ya uongozi wa benchi la ufundi kwa muda huku wakiendelea kutafuta kocha mwingine.
Comments
Post a Comment